sw_tn/col/03/12.md

861 B

Vaeni...moyo wa huruma

Kama vile mtu awezavyo kuvaa nguo anapokuwa amevaa, waumini wanapaswa kuvaa huruma, unyenyekevu, nk. katika tabia zao kwa kila mmoja.

Kwa hiyo

"Kwa sababu kile nilichokisema ni kweli"

kama wateule wa Mungu - watakatifu na wapendwao

"kama watakatifu wa Mungu na wanaopendwa kwa pendo kuu waliochaguliwa."

ukarimu

"mpole" au "mpole"

unyenyekevu

"unyenekevu wa akili" au "upole wa akili"

upole

"upole"

chukulianeni ninyi kwa ninyi

"fanyeni kazi kwa pamoja katika maelewano na upendo. "chukulianeni na kila mmoja" au " vumilianeni na kila mmoja"

Hurumianeni kwa kila mtu

"Heshimu kila mmoja bora kuliko wanavyostahili kuheshimiwa"

ana lalamiko dhidi

"malalamiko dhidi"

ambao ni dhamana ya ukamilifu

"ambao unatufungamanisha kikamilifu pamoja" au "ambao unatufungamanisha pamoja katika maelewano kamili"