sw_tn/act/21/34.md

455 B

Jemadari

Huyu alikuwa ni afisa wa kijeshi au kiongozi wa askari wapatao 600.

aliagiza Paulo aletwe ndani

Aliagiza askari wake wamlete Paulo.

ndani ya ngome

Ngome hii ilikuwa imeunganishwa kwenye uwanda wa nje wa hekalu.

Wakati alipofika kwenye ngazi, walimchukua

'Wakati Paulo alipofika kwenye ngazi za ngome, askari wakamchukua'

Muondoeni huyu

Umati wa watu kwa kutumia lugha kiasi fulani kali na lugha halisi ya kuomba Paulo auwawe.