sw_tn/act/16/19.md

650 B

mabwana zake

wale wanao mmiliki yule msichana mtumwa

tumaini la faida

Hii inamaanisha ule uwezo wa kubashiri aliokuwa nao yule msichana na watu kumlipa kwa kuwabashiria.

kuwaburuza wao

Mabwana waliwaburuza "Paulo na Sila" lakini siyo kundi lote akiwemo Luka na Timotheo.

mbele ya wenye mamlaka

'Katika uwepo wa mamlaka' au 'kuhukumiwa na mamlaka

Walipowafikisha kwa mahakimu, walisema,

"Baada ya mabwana kuwaleta Paulo na Sila mbele ya mahakimu, mabwana wale wakasema"

Wanafundisha

"Paulo na Sila wanafundisha"

siyo ya kisheria

mabwana wanajumuisha mambo ya kitawala katika madai yao kwani wao pia walikuwa raia wa Kirumi