sw_tn/act/16/14.md

534 B

Sentensi unganishi

Hii ndyo mwishowa hadithi ya Lidia

Mwanamke mmoja aitwaye Lidia

"Kulikuwa na Mwanamke aitwaye Lidia"

muuzaji wa zambarau

"Mfanya biashara aliyeuza nguo za zambarau"

kumuabudu Mungu

Mwenye kumuabudu Mungu ni Mataifa ambaye hutoa sifa kwa Mungu na kumfuata Yeye, lakini hafuati sheria zote za Kiyahudi.

alitusikiliza

"Yeye alitusikiliza"

mambo yaliyozungumzwa na Paulo

"Mambo ambayo paulo aliyasema "

Baada ya kubatizwa yeye na nyumba yake

"walipo mbatiza Lidia na watu wa nyumbani mwake"