sw_tn/act/16/04.md

332 B

walipo kuwa wakienda

"Walipo kuwa" hii inamaanisha Paulo, Sila na Timotheo.

ili kuyatii

'Kwa washiriki wa kanisa kutii' au 'kwa waumini kutii'

yaliandikwa na mitume na wazee huko Yerusalemu

"ambayo imeandikwa na mitume na wazee huko Yerusalemu"

Makanisa yakaimarishwa

"Paulo , Sila na Timotheo waliimarisha makanisa"