sw_tn/act/13/46.md

730 B

Maelezo ya jumla

Paulo ananukuu nukuu ya Nabii Isaya katika Agano la Kale.

Ilikuwa ni muhimu

"Mungu alikuwa ameagiza kile cha kufanya"

kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu

"Kwamba tulinene neno la Mungu kwenu kwanza"

kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu

"Kulipinga neno la Mungu lililonenwa"

nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele

Mmeonyesha kuwa hamkuuthamini uzima wa milele"

tutawageukia Mataifa.

"Tutawaambia watu wa Mataifa habari za Yesu"

kama nuru

Hapa ni ukweli kuhusu Yesu kwamba Paulo alikuwa akihubiri kana kwamba kulikuwa na nuru iliyokuwa ikiruhusu watu kuona.

kwamba mlete wokovu kwa pande zote za dunia

"Kuwaambia watu mahali pote katika dunia kwamba ninataka kuwaokoa"