sw_tn/act/07/59.md

347 B

Sentensi unganishi

Maelezo ya Stefano yanakomea katika sura hii ya 7.

"Pokea roho yangu"

"Chukua Roho yangu" Hili lilikuwa ni ombi toka kwa Stefano.

Akapiga magoti

Hii ni namna ya kuonyesha unyenyekevu kwa Mungu.

usiwahesabie dhambi hii

Inamaanisha; Uwasamehe dhambi hii.

akakata roho

Ni lugha nyingine kuonyesha umauti wa mtu.