sw_tn/act/07/06.md

535 B

Mungu alinena naye hivi

Badaaye Mungu alimwambia Ibrahimu.

miaka mia nne.

Miaka mia nne (400).

nitalihukumu taifa

Neno "taifa" linamaanisha watu walio ndani yake. Mungu atawahukumu watu wa taifa.

ambalo litawafanya mateka

Nchi ambayo uzao wako watakuwa mateka.

akampa Abrahamu agano la tohara

Mungu alifanya Agano na Abrahamu la tohara kwa watoto wake wote wa kiume.

Abrahamu akawa baba wa Isaka

Ni habari inayoelezea Uzao wa Abrahamu.

na Yakobo akawa baba

Na Yakobo akawa baba, Stefana anaelezea kwa ufupi.