sw_tn/act/05/03.md

1004 B

Maelezo ya jumla

Kama lugha yako unayotumia haina haitumii maswali yenye majibu ndani ya swali, unaweza kutumia kame sentensi tu.

Kwanini Shetani ameujaza moyo wako...ardhi?

Petro alitumia swali hili kumkemea Anania. "Kwa namna gani umemruhusu Shetani kukushawishi ili kudanganya juu ya kiasi cha mauzo ya ardhi yenu."

kusema uongo kwa Roho Mtakatifu na kuficha sehemu ya mali ya shamba

Inaonyesha Anania alikuwa amewaambia mitume kuwa alichotoa kilikuwa kiasi chote cha mauzo ya shamba lake

Wakati lilipokuwa halijauzwa, halikuwa ni mali yako?

Petro alitumia maswali haya kumkumbusha Anania kwamba alikuwa na uwezo juu ya pesa yake. "Alikuwa na wajibu wa kusimamia pesa yake kwa uadilifu."

Ilikuwaje uwaze jambo hili moyoni mwako?

Petro alitumia swali hili kumkemea Anania. "Hukupaswa kuamua kuwa mwongo juu ya jambo hili."

Anania alidondoka chini na akakata roho

Anania alianguka chini kwasababu alikufa. Hakufa kwasababu alianguka chini bali alikufa na kisha akaanguka chini.