sw_tn/2sa/23/15.md

255 B

kupita kati ya jeshi

"walipigania njia yao kupitia jeshi la adui"

Je ninywe damu ya watu waliohatilisha maisha yao?

Daudi analinganisha maji na damu kwa sababu wale watu walihatarisha maisha yao ili kuyalete kwake. Anatumia swali kusisitiza hili.