sw_tn/2sa/21/12.md

296 B

Yabeshi Gileadi

Huu ulikuwa ni mji katika eneo la Gibea.

Eneo la wazi

Hili ni eneo karibu na lango la mji ambapo watu walifanya kazi mbalimbali.

Bethi Shani

Hili ni jina la eneo

Gilboa

Hili ni jina la mlima

Waliokuwa wametundikwa

"Ambao Wagibeoni waliwanyonga kwa kuwatundika"