sw_tn/2sa/21/02.md

291 B

Basi

Inaonesha kuisha kwa habari na kutoa mazingira ya habari inayofuata kuhusu Wagibeoni.

Niwatendee nini? Nifanyeje upatanisho... ahadi?

Mistari hii miwili ina maana inayofanana. Yaani "Nifanyeje kuondoa dhambi hii, ili mwabariki watu wa Yahwe, waumilikio wema wake na ahadi zake?