sw_tn/2sa/17/13.md

787 B

Ndipo Israeli wote

Hii inawahusu askari wa Israeli na siyo Waisraeli wote.

tutaleta kamba juu ya mji huo na kuukokotea mtoni, hata kusionekane hata jiwe moja dogo lililosalia

Hii inamaanisha kwamba askari wangeuangusha mji chini na kukokota vipande vyake katika mto

hata kusionekane hata jiwe moja dogo lililosalia.

Hii ni kutia chumvi kwa kueleza ni jinsi gani watakavyouangamiza mji. Hii siyo katika hali halisia.

Hushai Mwarki

Huyu ni rafiki wa mfalme Daudi. Arki ni jina la kundi la watu katika Israeli

Ahithofeli

hili ni jina la mshauri wa Daudi

Kukataliwa kwa shauri jema la Ahithofeli

Neno "kukataliwa" linaweza kuelezwa na kitenzi "kataa"

kulete angamizo juu ya Absalomu

"Kuleta" kitu fulani juu ya mtu inamaanisha kusababisha jambo kufanyika kwake.