sw_tn/2sa/16/22.md

687 B

Kutanda

"Kuweka"

juu ya kasri na Absalomu akalala... masuria wa baba yake mbele za Israeli wote.

Hii inamaanisha kwamba watu walikuwa wanaweza kuliona hema na Absalomu akiingia na kutoka ndani ya hema pamoja na wanawake. Kifungu hiki "Israeli wote" kinatia chumvi, maana ni wale tu walikuwa karibu na kasiri wangeweza kuiona.

Basi ushauri wa Ahithofeli... ilikuwa kama vile mtu alisikia

Hapa mwandishi analinganisha ni kwa kiasi gani watu waliamini ushauri wa Ahithofeli kama vile ambavyo wangeamini ushauri wa moja kwa moja kutoka kwa Mungu.

kama mtu anavyosikia kutoka katika kinywa cha Mungu mwenyewe

Hapa kinywa cha Mungu kinamwakilisha na kinasisitiza hotuba yake.