sw_tn/2sa/16/09.md

578 B

Abishai

Hili ni jina la mwanamme

Seruya

Hili ni jina la mwanamme

Kwa nini mbwa mfu huyu amlaani bwana wangu mfalme

Abishai aliuliza swali hili kuonesha hasira yake juu ya mtu yule.

Umbwa mfu huyu

Hapa mtu anaelezwa kwamba hafai kwa kulinganishwa na mbwa mfu.

Nifanye nini nanyi, wana wa Seruya

Swali hili liliulizwa ili kuwakosoa wana wa Seruya.

Pengine ananilaani kwa sababu

"Anaweza kuwa ananilaani kwa sababu"

Mlaani Daudi.' Nani sasa awezaye kumwambia, 'Kwa nini unamlaani mfalme

Hii inasemwa kama swali kusisitiza kwamba jibu ni kwamba "hakuna."