578 B
578 B
Abishai
Hili ni jina la mwanamme
Seruya
Hili ni jina la mwanamme
Kwa nini mbwa mfu huyu amlaani bwana wangu mfalme
Abishai aliuliza swali hili kuonesha hasira yake juu ya mtu yule.
Umbwa mfu huyu
Hapa mtu anaelezwa kwamba hafai kwa kulinganishwa na mbwa mfu.
Nifanye nini nanyi, wana wa Seruya
Swali hili liliulizwa ili kuwakosoa wana wa Seruya.
Pengine ananilaani kwa sababu
"Anaweza kuwa ananilaani kwa sababu"
Mlaani Daudi.' Nani sasa awezaye kumwambia, 'Kwa nini unamlaani mfalme
Hii inasemwa kama swali kusisitiza kwamba jibu ni kwamba "hakuna."