sw_tn/2sa/14/10.md

1.1 KiB

Kusema chochote kwako

Hapa vitisho vya maneno vinazungumzwa kwa ujumla.

Hatakugusa tena

Hapa Daudi anazungumzia mtu kutomgusa au kumtisha, kwa kusema kwamba mtu hata kugusa. Inaonesha kwamba Daudi hataruhusu mtu kumtisha ili kumsumbua.

kwamba wasimwaribu mwanangu

"Kwamba hawatamwua mwanangu" au "kwamba hawatamnyonga mwanangu"

Tafadhari, mfalme na amkumbuke Yahwe Mungu wake

Maana kisiwa 1) Kifungu "kukumbuka" ni usemi unaomaanisha kuomba. Yaani "Tafadhari mwombe Yahwe Mungu wako au 2) Hapa "kumbuka" inamaanisha kukumbuka na inaonesha kwamba baada ya kumkumbuka Yahwe atatoa ahadi kwa jina lake.

Mlipa kisasi cha damu

Hii inarejerea kwa mtu anayetaka kulipiza kisasi cha kifo cha ndugu yake.

Kumwangamiza mwingine zaidi

"kusababisha mwingine zaidi afe." Hii ni nyongeza kwa mwingine aliyeuawa.

Hakuna hata unywele mmoja wa mwanao utakaoanguka chini.

Hii inamaana kwamba mwanawe hatapata madhara, ambayo inatia chumvi kwamba hatapoteza hata unywele mmoja.

Kama Yahwe aishivyo

Mara kwa mara watu waliahidi na kulinganisha kwa uhakika jinsi ambavyo wangeakikisha ahadi zao kwa jinsi Yahwe anavyoishi.