sw_tn/2sa/09/07.md

586 B

Kwa ajili ya Yonathani baba yako

"Kwa sababu nilimpenda baba yako, Yonathani"

Utakula daima katika meza yangu.

Hapa "meza" inawakilisha kuwa pamoja na Daudi katika uwepo. Kula na mfalme mezani ilikuwa ni heshima kubwa.

Mtumishi wako ni nini, hata umwangalie kwa upndeleo mbwa mfu kama mimi?

Swali hili lisiloitaji jibu laonesha kuwa Mefiboshethi anafahamu kuwa hana umuhimu wowote wa mfalme kumjari.

mbwa mfu huyo

Hapa Mefiboshethi anawakilisha uzao wa Sauli, na anajilinganisha na "mbwa mfu." Mbwa walikuwa wanyama wasioheshimiwa, mbwa mfu alikuwa hana umuhimu kabisa.