sw_tn/2sa/01/06.md

281 B

Kwa bahati nilikuwa

Taarifa hii inasisitiza kwamba mtu yule hakuwa amepanga kukutana na Sauli

Sauli alikuwa ameegemea mkuki wake

Maana yake yaweza kuwa 1) Sauli alikuwa amedhoofika na alitumia mkuki kumsaidia au 2) Sauli alikuwa akijaribu kujiuwa kwa kuuangukia mkuki wake.