575 B
575 B
Riseni ... Peka ... Remalia
Haya ni majina ya wanaume.
wakamzunguka Ahazi
Ahazi alikuwa Yerusalemu. Hapa "Ahazi" inamuwakilisha yeye mwenyewe na watu waliokuwa katika Yerusalemu pamoja naye. "waliuzunzunguka mji pamoja na Ahazi katika huo" au "walimzunguka Ahazi na wengine katika mji pamoja naye"
akamponya Elathi kwa Shamu
Hii inawakilisha kuchukua utawala wa Elathi ili kwamba uwe milki ya watu wa Shamu. "kuchukua utawla wa mji wa Eliathi"
Eliathi
Hili ni jina la mji.
kuwapeleka watu wa Yuda nje ya Elathi
"kuwalazimisha watu wa Yuda kuondoka Elathi"