sw_tn/2ki/12/11.md

508 B

imepimwa

"imehesabiwa"

kwenye mikono ya watu

Hapa "mikono" inarejea kwa watu. "kwa watu"

waliokuwa wanatunza hekalu

"waliokuwa wanakarabati hekalu"

maseremala

watu wajengao na kukarabati vitu vilivyotengenezwa kwa mbao

waashi

watu wajengao kwa mawe

wakata mawe

watu wakatao mawe kwenye kipimo kimoja na umbo

kwa ajili ya kununua mbao na kukata mawe

"kununua mbao na kukata jiwe"

yote iliyokuwa inahitajika kulipwa kwa ajili ya kuitengeneza

"kulipa kwa ajili ya ukarabati wote"