sw_tn/2ki/10/21.md

470 B

Kisha Yehu akaituma

Hii inamaanisha kwamba kutuma wajumbe kuuchukua huu ujumbe kupitia nchi. "Kisha Yehu akawatuma wajumbe" au "Kisha Yehu akatuma ujumbe"

hivyo basi hakuna mtu hata mmoja ambaye aliacha kuja

"hivyo basi kila mwabudu Baali alikuwa huko" au "hivyo basi kila mtu akaja"

lilijaa

"waliijaza"

aliyekuwa anatunza kabati la nguo za makuhani

Hapa "kutunza" kitu inamaanisha kuiangalia na kuisimamia. "ambaye alikuwa msimamizi wa kabati la mfalme"