sw_tn/1ti/06/17.md

428 B

waambie matajiri

Hapa "matajiri" kisifa. Inaweza kutafasiriwa kama, waambie wote walio matajiri.

katika utajiri, ambao siyo wa uhakika

katika vitu vingi wanavyovitumaini ambavyo wanaweza kuvipoteza

utajiri wote wa kweli

vitu vyote ambavyo vitatufanya kuwa na furaha ya kweli. Kama vile, upendo, furaha, na amani

watajirike katika kazi njema

Paulo anaongea juu ya baraka za rohoni kama vile ni utajiri wa duniani.