428 B
428 B
waambie matajiri
Hapa "matajiri" kisifa. Inaweza kutafasiriwa kama, waambie wote walio matajiri.
katika utajiri, ambao siyo wa uhakika
katika vitu vingi wanavyovitumaini ambavyo wanaweza kuvipoteza
utajiri wote wa kweli
vitu vyote ambavyo vitatufanya kuwa na furaha ya kweli. Kama vile, upendo, furaha, na amani
watajirike katika kazi njema
Paulo anaongea juu ya baraka za rohoni kama vile ni utajiri wa duniani.