358 B
358 B
Bali wewe
Hapa "wewe" ipo katika umoja na inamaanisha Timotheo
mtu wa Mungu
mtumishi wa Mungu
huru mabali na hivi vitu
Paulo anaongea juu ya majaribu na dhambi kama vitu ambavyo mtu angeweza kuvikimbia
ulitoa ushuhuda
ulishuhudia
mbele ya mashahidi wengi
Paulo anaelezea wazo la eneo fulani ili kuonesha watu ambao Timotheo aliongea nao.