sw_tn/1th/04/03.md

486 B

Epuka tamaa za mwili

"kaa mbali na tamaa za mwili"

Namna ya kumiliki

"kujua namna ya kuishi na"

Tamaa za mwili

"tamaa mbaya za mwili"

Asiwepo mtu

"asowepo yeyote" au "asiwepo mtu"

Atakayevuka mpaka na kumkosea

Hii ni maelezo zaidi inayoelezea wazo lile lile kwa namna mbili.

Bwana ndiye mwenye kulipa kisasi

"Bwana atamuadhibu yule atakayevuka mipaka na atamtetea yule atakayekosewa"

Tulivyowaonya na kuwashuhudia

"Tulivyowaambia kabla ba kuwaonya kwa nguvu"