sw_tn/1th/02/13.md

490 B

maelezo ya jumla

Paulo anaendela kutumia "twa" kumaanisha yeye na anao safiri nao.

Kwa sababu hiyo twamshukuru Mungu kila wakati, kwa

"Sisi tunaendelea kumshukuru Mungu kila wakati kwa sababu"

Mlipokea kama kweli ilivyo neno la Mungu

Wathessalonike waliamini ujumbe wa Paulo aliohubiri kuwa ulikuja kutoka kwa Mungu na sio kutoka kwenye mamlaka ya Paulo mwenyewe

ni hili neno linalo fanya kazi kwenu mnao amini

Paulo anazungumzia injili kana kwamba ni mtu anaye fanya kazi