sw_tn/1sa/30/26.md

288 B

Taarifa ya jumla:

Mwandishi anaandika miji ambayo wazee wake walipokea zawadi toka kwa Daudi.

Ziklagi ... Bethueli ... Yatiri ... Aroeri ... Sifmothi ... Eshtemoa

Haya ni majina ya miji.

nyara

vitu ambavyo Daudi alivichukua toka kwa Waamaleki baada ya vita.

zawadi

hedaya