sw_tn/1ki/19/19.md

433 B

akilima

akilima kwa jembe la kukokotwa na wanyama linlovunja vunja udongo ili kwamba mbegu zipandwe.

jozi za makisai kumi na mbili

"jozi 12 za makisai"

yeye mwenyewe alikuwa akilima na ile ozi ya kumi na mbili

Neno "mwenyewe" linaonyesha kuwa Elisha alikuwa akilima na ile jozi ya mwisho, wakati wale wanume wengine walikuwa wakilima na zile jozi kumi na moja.

akamwambia, "tafadhali"

Neno "mwa" linamaanisha Elisha