sw_tn/1ki/17/11.md

475 B

Kama BWANA Mungu wako aishivyo

Kirai hii ni kiapo kinachosisitiza kuwa kile atakachokisema ni kweli.

konzi moja ya unga tu

ni kidogo tu kwa ajili ya mlo mdogo

unga

"unga uliotumika kutengeneza mkate

kuni mbili

Hii inamaanisha vijiti viwili

ili tule, na tusubiri kufa

"kwamba tuweze kula na baada ya hapo tusubiri kufa"

Ndipo baadaye ujitengenezee wewe na mwanao

Hii iko wazi kabisa kuwa kutakuwa na unga wa kutosha na mafuta kwa ajili ya mikate zaidi.