389 B
389 B
Mtishibi
Hili jina la kundi la watu kutoka Tishibi
Tishibi
Hili ni jina la mji katika mkoa wa Gileadi
Kama vile BWANA, Mungu wa Israeli aishivyo
Kirai hiki ni kiapo kinchomaanisha kuwa kile anachosema ni kweli.
ambaye mbele yake ninasimama
Hii ni nahau ambayo inamaanisha "kutumika" "ambaye ninamtumikia"
umande
matone ya mvua ambayo hutokea kwenye mmea wakati wa usiku