sw_tn/1ki/17/01.md

389 B

Mtishibi

Hili jina la kundi la watu kutoka Tishibi

Tishibi

Hili ni jina la mji katika mkoa wa Gileadi

Kama vile BWANA, Mungu wa Israeli aishivyo

Kirai hiki ni kiapo kinchomaanisha kuwa kile anachosema ni kweli.

ambaye mbele yake ninasimama

Hii ni nahau ambayo inamaanisha "kutumika" "ambaye ninamtumikia"

umande

matone ya mvua ambayo hutokea kwenye mmea wakati wa usiku