sw_tn/1ki/14/11.md

376 B

Yeyote ambaye ni mwanfamila yako ... ataliwa na mbwa

"Mbwa watawala kila mmojaambaye ni mwanafamilia yako atakayefia mjini"

na yeyote atakayefia ... ataliwa na ndege wa angani

"ndege wa angani watamla yeyote anyefia shambani"

je, kuna jambo lolote jema lililoonekana katika macho ya BWANA, Mungu wa Israeli.

"Je, BWANA, Mungu wa Israeli, ameona jambo lolote jema?"