sw_tn/1ki/11/40.md

397 B

Yeroboamu

Yeroboamu mwana wa Nebati ndiye aliyekuwa mfalme wa kwanza wa dola ya kaskazini ya Israeli kati ya mwaka 910 - 900 KK. Yeroboamu mwingine, mwana wa Yehoashi, alitawala Israeli baada ya miaka 120

Misri, Wamisri

Misri ni nchi iliyo kasikazini mwa Afrika, kusini magharibi mwa nchi ya Kanaani.

kifo. kufa, aliyekufa

Neno hili linatumika kuonyesha kifo cha kimwili na cha kiroho.