sw_tn/1ki/11/37.md

281 B

Taarifa kwa ujumla

Ahiya anaendeleea kumwambia Yeroboamu kile ambacho BWANA amesema.

Nitakuchukua

Neno "ni" linamaanisha BWANA na neno "ku" linamaanisha Yeroboaomu.

kinachopendeza mbele yangu

Tazama 1:31

nitakujengea nyumba ya uhakika

"Nitakuanzia ufalme wa milele"