sw_tn/1ki/10/08.md

231 B

ambao daima husimama mbele yako

"ambao wako katika uwepo wako wakisubiri kukutumikia"

BWANA, Mungu wako atukuzwe

"Watu na wamtukuze BWANA Mungu wako"

alikuweka kwenye kiti cha enzi cha Israeli

"Aliyekufanya kuwa mfalme"