sw_tn/1ki/09/20.md

911 B

makundi ya watu, watu wengi, watu, mtu

Hayao ni , makundi ya watu wenye lugha moja na utamaduni mmoja.

Mwamori

Waamori walikuwa watu wenye nguvu ambao walikuwa wanatokana na mjukuu wa Nuhu aliyeitwa Kanaani.

Mhiti

Wahiti walitokana na uzao wa Hamu kupitia mwanae Kanaani. Baadaye walikuja kuwa dola kubwa ambayo leo iko kwenye eneo la Uturuki na Palestina y a kaskazini.

Waperezi

Waperezi walikuwa moja ya makundi ta watu waliokuwa katika nchi ya Kanaani. Tunafahamu machache sana juu ya mababu wa hili kundi na hata sehemu hasa walikoishi huko Kanaani

uzao, walitokana n a

"uzad" ni mtu ambaye ana uhusiano wa moja kwa moja au uhusiano wa damu na mtu katika historia.

Yebuse, Wayebuse

Wayebuse walikuwa ni moja ya makundi ya watu walioishi katika nchi ya Kanaani. Walitokana na mtoto wa Hamu aliyeitwa Kanaani.

kazi, wafanya kazi

Neno "kazi" linamaanisha kufanya kazi fulani ngumu.