sw_tn/1ki/09/15.md

282 B

vigezo ambavyo Sulemani aliweka ili kujenga hekalu

"sababu ambazo Sulemani aliweka kwa wafanyazi ili wajenge hekalu"

kuijenga Milo

Inaweza kumaanisha "kujenga ule mfumo wa ngazi"

Farao mfalme wa Misiri alikuwa ameenda

"Jeshi la Farao, mfalme wa Misri, lilikuwa limeenda"