sw_tn/1ki/09/04.md

414 B

kama utatembea mbele yangu kama baba yako Daudi alivyotembea

"Kama utaisha kama ninavyokutaka uishi, kama vile Daudi baba yako alivyofanya"

kwa haki na unyofu katika moyo

Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile, vimetumika kuonyesha msisitizo wa jinsi Daudi alivyokuwa.

kiti chako cha enzi

"utawala wako"

uzao wako hautaondoka katika kiti cha enzi cha Israeli

"daima utatawala katika Israeli"