sw_tn/1ki/08/57.md

251 B

Asituache wala kututelekeza

Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile na vinasisitza hamu ya BWANA ya kuwa pamoja na watu.

aunganishe mioyo yetu na yeye

"atufanye tujitoe kwake"

tuishi katika njia zake

"kuishi kama anavyotutaka kufanya"