sw_tn/1ki/08/49.md

250 B

maombi yao, dua zao

Tazama 8:44

Wasamehe watu wako waliotenda dhambi dhidi yako, na dhambi zao zote ambazo kwazo, wamekukosea wewe dhidi ya amri zako

Sulemani anamwomba BWANA mara mbili kuwasamehe watu. Hii inasisitiza ile juhudi ya dua yake.