sw_tn/1ki/08/46.md

515 B

kutokea katika nchi ya watekaji

"ambako adui zao wamewapeleka kama mateka"

katika nchi ya watekaji

Neno "watekaji" linamaasha wale watu ambao huwafanya watu kuwa mateka.

Tuemetenda kwa ukaidi, na tumefanya dhambi. Tumetenda kwa uovu.

Virai hivi viwili vinvamaanisha kitu kimoja na vimetumika kuonyesha msisitizo wa jinsi hawa watu walivyofanya mabaya.

tumetenda kwa ukaidi, na tumefanya dhambi

Maneno haya mawili ya namaanisha kitu kilekile na yametumika kuonyesha jinsi wale watu walivyofanya uovu.