mkono wako wenye nguvu, na mkono wako ulioinuliwa
Virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile na vivnalenga mamlaka ya Mungu.
nyumba hii niliyoijenga inaitwa kwa jina lako
Kirai kinachosema "inaitwa kwa jin lako" kinamaanisha umiliki. "wewe ndiye mmiliki wa nyumba hii ambayo nimeijenga"