sw_tn/1ki/08/39.md

761 B

mbinguni, angani

mbinguni ni mahali ambapo Mungu huishi. Pia linaweza kumaanisha angani kutemea na mukhutadha. Lakini mbinguni ni mahali pa juu ya ardhi au dunia.

uhai, kuishi, maisha, aliye hai

maneno haya yote yanamaanisha kuwa hai kimwili.

samehe, msamaha

kumsamehe mtu kunamaanisha kutokushikilia hasira dhidiya mtu aliyekuumiza.

zawadi

zawadi linamaanisha kitu ambacho mtu hupokea kwa sababu ya kufanya kitu fulani

moyo

katika biblia, neno "moyo" limetumika kama lugha ya umbo kumaanisha mawazo, hisia, tamaa au utashi.

hofu, kuogopa, hofu ya BWANA

Nno "hofu" na "kuogopa" yanamaanisha hisisa hasi ambazo mtu huwa nazo pale kunapokuwepo na kitisho. Lakini pia neno "hofu" linamaanisha heshima ya ndani kabisa kwa mtu mwenye mamlaka.