sw_tn/1ki/08/37.md

557 B

magonjwa au ukungu

haya nimajina ya magonjwa ya mazao ya kilimo yanayomaanisha kifo cha mazao kutokana uhaba wa mvua au mvua iliyozidi.

nzige au funza

"nzige" niaainaya panzi ambaye husababisha uharibifu kwa njia ya kula mazao, Neno "funza" ni hatua ya mwanzo wa kukua kwa nzige.

na kama kuna mtu au watu wataomba

mtu au watu wako wote wa Israeli, wataomba na kukupa dua"

akaijua hiyo tauni katika moyo wake

Hii inaweza kumaanisha 1) "kuijua dhambi katika moyo wake" au 2) "kujua katika moyo wake kwamba ile tauni ni matokeo ya dhambi yake