sw_tn/1ki/08/27.md

467 B

Je, ni kweli Mungu ataishi duniani?

"Lakiini kwa hakika haiwezekani kuwa Mungu ataishi duniani!"

maombi haya ya mtumishi wako na haja yake

Neno "maombi" na "haja" yanamaanisha kitu kilekile. Yametumika kuonesha msisitizo wa maombi yake.

uyajali maombi haya ya mtumishi wako ... sikiliza kilio na maombi ambayo mtumishi wako anakuomba leo

sehemu ya kwanza na ya mwisho ya sentensi hizi zinamaanisha kitu kilekile. Sehemu zote zinaonesha maombi ya Sulemani.