sw_tn/1ki/08/01.md

635 B

akawakusanya wazee wa Israeli

"aliwaita pamoja viongozi wa Israeli"

wanaume wote

Hii yaweza kumaanisha 1) watu ambao Sulemani aliwaita kule Yerusalemu ambao pia wameorodheshwa kwenye 8:1 au 2) kwa wale ambao walisafiri kwenda Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu, na siyo lazima kuwa ni wanaume wote walioishi Israeli.

Kwenye sikukuu

Hii inamaanisha sikukuu ya vibanda

Katika mwezi wa Ethanimu, ambao ndio mwezi wa saba

"Ethanimu" ni m Huu mwezi ulikuwa kati ya mwezi wa saba wa kalenda ya Kihebrania. Huu mwezi ulikuwa kati ya sehemu ya mwisho wa mwezi wa Septemba na mwanzoni mwa mwezi wa Oktoba kwa kalenda ya Magharibi.