sw_tn/1ki/07/18.md

399 B

safu mbili za komomanga

Komamanga ni tunda lenye ganda gumu, rangi nyekundu kwa ndani na mbegu nyingi zenye maji matamu. Huramu hakutumia makomamanga halisi kupamba hizo nguzo. Atengeneza kwa kutumia shaba.

Zile taji ...zilikuwa zimepambwa kwa maua, vyenye vimo vya mita 1.8

"Huramu alizipamba zile taji ... kwa maua ya shsaba, yenye vimo mita 1.8"

vichwa vya nguzo za ukumbi

Tazama 7:6