sw_tn/1ki/07/13.md

430 B

Kumleta Huramu kutoka Tiro

Huramu aliupokea wito wa Sulemani wa kuja Yerusalemu

mwana wa mjane ... baba yake alikuwa mtu wa Tiro

Mjane ni mwanamke ambaye mume wake alishafariki, na tunajiridhisha kuwa baba yake kweli alishakufa.

Huramau alikuwa mwingi wa hekima na ufahamu na stadi

Neno "hekima naufahamu" yanamaanisha kitu kilekile, yametumika kuonyesha msisitizo. "Mungu alimjaza Huramu kwa hekima, ufahamu na stadi"