sw_tn/1ki/06/09.md

567 B

Sulemani akalijenga hekalu akalimaliza

Sulemai ahakulijenga hekalu pekee yake; watumishi wake ndio walioifanya hiyo kazi

Akavijenga na vyumba vya pembeni

Hivi ni vyumba vilevile ambavy ovimeonyeshwa kwenye jengo.

kwa boriti na mbao za mwerezi

boriti ni kipande kirefu na kizito cha ubao unaotengenezwa ili kulinda jengo. Papi ni kipande cha mti uliobapa ambao pia hutumika katika ujenzi.

vyumba vya ndani

"kuta za ndani"

mbao za mierezi

Neno "mbao" ni neno la jumla ambalo linatumika kuonesha ubao unaotumika kwa kujengea, kama vile boriti na papi