sw_tn/1ki/03/10.md

324 B

Taarifa kwa ujumla

Munga anampatia Sulelmani hekima na vitu vingine.

uhai wa adui zako

Sulemai hakumwamba Mingu ampe uwezo dhidi ya adui zake. "adui zako wauawe" au "uwezo wa kuwaua adui zako"

Tazama sasa nitafanya yote uliyoomba wakati uliponipa ombi lako

"Nitafanya kile ulichoomba nifanye pale uliposema nami"