sw_tn/1ki/02/01.md

814 B

Mimi sas ninnaiendea njia ya dunia yote

Hii ni tafsida ya kusema "Mimi naelekea kufa"

ujionyeshe mwenyewe kama mwanamume

"Mwonyeshe kila mmoja kuwa wewe ni mwanamume" au ":uishi maisha ambayo kila mmoja atakuona kuwa wewe ni mwanamume mwema"

ukitembea katika njia zake

"uishi maisha anayokuamuru"

ufanikiwe

"kufanikisha" au "kufanya vizuri"

atayatimiza maneno yake

"atafanya kila kitu alichoahidi kufanya"

kama wanao ... hawatakoma

BWANAanamwambia Daudi, kwa hiyo maneno "o" na "wa" yanamwakilisha Daudi.

wakatembea mbele yangu kwa uaminifu

BWANA anamwabia Daudi. kwa hiyo neno "yangu" linamwakilisha BWANA.

kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote

kujitoa kikamilifu

hawatakoma kuwa na mtu katika kiti cha enzi cha Israeli

"Mmoja wa wana wa kizazi chako ataendelea kuwa mfalme."