sw_tn/1ki/01/13.md

405 B

Taarifa kwa ujumla

Nabii Nathani anendelea kuongea na Bathisheba

Je, haukumwapia mtumishi ... enzi?

"ulimwapia mtumishi wako ... enzi"

mtumishi wako

"kwangu, mtumishi wako"

ataketi kwenye kiti changu cha enzi

"atakuwa mfalme kama nilivyokuwa"

Kwa nini basi Adoniya anatawla?

"Kwa hiyo basi, Adoniya anapaswa kutokutawala"

kuthibitisha hayo

"mwambie kuwa hayo uliyosema ni ya kweli"